YouVersion Logo
Search Icon

Lk 5:12, 13, 14, 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21, 22, 23, 24, 25, 26

Lk 5:13 SUV

Naye akaunyosha mkono wake, akamgusa akisema, Nataka; takasika. Na mara ukoma wake ukamwondoka.

Lk 5:16 SUV

Lakini yeye alikuwa akijiepua, akaenda mahali pasipokuwa na watu, akaomba.

Lk 5:20 SUV

Naye alipoiona imani yao, alimwambia, Ee rafiki, umesamehewa dhambi zako.

Lk 5:22 SUV

Na Yesu alijua hoja zao, akajibu akawaambia, Mnahojiana nini mioyoni mwenu?

Lk 5:23 SUV

Lililo jepesi ni lipi? Kusema, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, uende?

Lk 5:26 SUV

Ushangao ukawashika wote, wakamtukuza Mungu; wakajaa hofu, wakisema, Leo tumeona mambo ya ajabu.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy