YouVersion Logo
Search Icon

Yn 9:13, 14, 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21, 22, 23, 24, 25, 26, 27, 28, 29, 30, 31, 32, 33, 34

Yn 9:13 SUV

Basi wakampeleka kwa Mafarisayo yule aliyekuwa kipofu zamani.

Yn 9:14 SUV

Nayo ilikuwa sabato, hapo Yesu alipofanya zile tope na kumfumbua macho.

Yn 9:23 SUV

Ndiyo sababu wale wazazi wake walisema, Ni mtu mzima, mwulizeni yeye.

Yn 9:26 SUV

Basi wakamwambia, Alikutendea nini? Alikufumbua macho jinsi gani?

Yn 9:28 SUV

Basi wakamshutumu, wakasema, Wewe u mwanafunzi wake yule; sisi tu wanafunzi wa Musa.

Yn 9:29 SUV

Sisi tunajua ya kuwa Mungu alisema na Musa; bali yule hatujui atokako.

Yn 9:30 SUV

Yule mtu akajibu, akawaambia, Hii ni ajabu! Kwamba ninyi hamjui atokako, naye alinifumbua macho!

Yn 9:32 SUV

Tokea hapo haijasikiwa ya kuwa mtu ameyafumbua macho ya kipofu, ambaye alizaliwa hali hiyo.

Yn 9:33 SUV

Kama huyo asingalitoka kwa Mungu, asingeweza kutenda neno lo lote.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy