YouVersion Logo
Search Icon

Yn 7:25, 26, 27, 28, 29, 30, 31, 32, 33, 34, 35, 36, 37, 38, 39, 40, 41, 42, 43, 44

Yn 7:25 SUV

Basi baadhi ya watu wa Yerusalemu wakasema, Je! Huyu siye wanayemtafuta ili wamwue?

Yn 7:27 SUV

Lakini huyu twamjua atokako; bali Kristo atakapokuja hakuna ajuaye atokako.

Yn 7:29 SUV

Mimi namjua, kwa kuwa nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma.

Yn 7:34 SUV

Mtanitafuta wala hamtaniona; nami nilipo ninyi hamwezi kuja.

Yn 7:36 SUV

Ni neno gani hilo alilolisema, Mtanitafuta wala hamtaniona; nami nilipo ninyi hamwezi kuja?

Yn 7:38 SUV

Aniaminiye mimi, kama vile maandiko yalivyonena, mito ya maji yaliyo hai itatoka ndani yake.

Yn 7:40 SUV

Basi wengine katika mkutano walipoyasikia maneno hayo, walisema, Hakika huyu ndiye nabii yule.

Yn 7:41 SUV

Wengine walisema, Huyu ndiye Kristo. Wengine wakasema, Je! Kristo atoka Galilaya?

Yn 7:43 SUV

Basi kukaingia matengano katika mkutano kwa ajili yake.

Yn 7:44 SUV

Baadhi yao wakataka kumkamata, lakini hakuna mtu aliyenyosha mikono yake ili kumshika.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy