YouVersion Logo
Search Icon

Yn 7:11, 12, 13, 14, 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21, 22, 23, 24

Yn 7:11 SUV

Basi Wayahudi wakamtafuta kwenye sikukuu, wakasema, Yuko wapi yule?

Yn 7:13 SUV

Walakini hakuna mtu aliyemtaja waziwazi, kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi.

Yn 7:14 SUV

Hata ikawa katikati ya sikukuu Yesu alikwea kuingia hekaluni, akafundisha.

Yn 7:15 SUV

Wayahudi wakastaajabu wakisema, Amepataje huyu kujua elimu, ambaye hakusoma?

Yn 7:16 SUV

Basi Yesu akawajibu, akasema, Mafunzo yangu si yangu mimi, ila ni yake yeye aliyenipeleka.

Yn 7:19 SUV

Je! Musa hakuwapa torati? Wala hakuna mmoja wenu aitendaye torati. Mbona mnatafuta kuniua?

Yn 7:20 SUV

Mkutano wakajibu, Ama! Una pepo! Ni nani anayetafuta kukuua?

Yn 7:21 SUV

Yesu akajibu, akawaambia, Mimi nalitenda kazi moja, nanyi nyote mnaistaajabia.

Yn 7:24 SUV

Basi msihukumu hukumu ya macho tu, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy