YouVersion Logo
Search Icon

Yn 6:61, 62, 63, 64, 65, 66, 67, 68, 69, 70

Yn 6:62 SUV

Itakuwaje basi, mmwonapo Mwana wa Adamu akipaa huko alikokuwako kwanza?

Yn 6:63 SUV

Roho ndiyo itiayo uzima, mwili haufai kitu; maneno hayo niliyowaambia ni roho, tena ni uzima.

Yn 6:66 SUV

Kwa ajili ya hayo wengi miongoni mwa wanafunzi wake wakarejea nyuma, wasiandamane naye tena.

Yn 6:67 SUV

Basi Yesu akawaambia wale Thenashara, Je! Ninyi nanyi mwataka kuondoka?

Yn 6:68 SUV

Basi Simoni Petro akamjibu, Bwana! Twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele.

Yn 6:69 SUV

Nasi tumesadiki, tena tumejua, ya kuwa wewe ndiwe Mtakatifu wa Mungu.

Yn 6:70 SUV

Yesu akawajibu, Je! Mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, na mmoja wenu ni shetani?

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy