YouVersion Logo
Search Icon

Yn 3:1, 2, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 10, 11, 12, 13, 14, 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21

Yn 3:1 SUV

Basi palikuwa na mtu mmoja wa Mafarisayo, jina lake Nikodemo, mkuu wa Wayahudi.

Yn 3:6 SUV

Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.

Yn 3:7 SUV

Usistaajabu kwa kuwa nilikuambia, Hamna budi kuzaliwa mara ya pili.

Yn 3:9 SUV

Nikodemo akajibu, akamwambia, Yawezaje kuwa mambo haya?

Yn 3:10 SUV

Yesu akajibu, akamwambia, Je! Wewe u mwalimu wa Israeli, na mambo haya huyafahamu?

Yn 3:13 SUV

Wala hakuna mtu aliyepaa mbinguni, ila yeye aliyeshuka kutoka mbinguni, yaani, Mwana wa Adamu.

Yn 3:15 SUV

ili kila mtu aaminiye awe na uzima wa milele katika yeye.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy