YouVersion Logo
Search Icon

Yn 10:1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 11, 12, 13, 14, 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21

Yn 10:2 SUV

Aingiaye mlangoni ni mchungaji wa kondoo.

Yn 10:5 SUV

Mgeni hawatamfuata kabisa, bali watamkimbia; kwa maana hawazijui sauti za wageni.

Yn 10:6 SUV

Mithali hiyo Yesu aliwaambia, lakini wao hawakuelewa na mambo hayo aliyowaambia.

Yn 10:7 SUV

Basi Yesu aliwaambia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi mlango wa kondoo.

Yn 10:8 SUV

Wote walionitangulia ni wevi na wanyang’anyi; lakini kondoo hawakuwasikia.

Yn 10:9 SUV

Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho.

Yn 10:11 SUV

Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.

Yn 10:13 SUV

Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara; wala mambo ya kondoo si kitu kwake.

Yn 10:14 SUV

Mimi ndimi mchungaji mwema; nao walio wangu nawajua; nao walio wangu wanijua mimi

Yn 10:15 SUV

kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo Baba. Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo.

Yn 10:17 SUV

Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.

Yn 10:19 SUV

Kukaingia tena matengano kati ya Wayahudi, kwa ajili ya maneno hayo.

Yn 10:20 SUV

Wengi wao wakasema, Ana pepo huyu, tena ana wazimu; mbona mnamsikiliza?

Yn 10:21 SUV

Wengine wakasema, Maneno hayo siyo ya mtu mwenye pepo. Je! Pepo aweza kuwafumbua macho vipofu?

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy