YouVersion Logo
Search Icon

Yn 1:19, 20, 21, 22, 23, 24, 25, 26, 27, 28, 29, 30, 31, 32, 33, 34

Yn 1:20 SUV

Naye alikiri, wala hakukana; alikiri kwamba, Mimi siye Kristo.

Yn 1:21 SUV

Wakamwuliza, Ni nini basi? U Eliya wewe? Akasema, Mimi siye. Wewe u nabii yule? Akajibu, La.

Yn 1:22 SUV

Basi wakamwambia, U nani? Tuwape majibu wale waliotupeleka. Wanenaje juu ya nafsi yako?

Yn 1:24 SUV

Nao wale waliotumwa walikuwa wametoka kwa Mafarisayo.

Yn 1:26 SUV

Yohana akawajibu akisema, Mimi nabatiza kwa maji. Katikati yenu amesimama yeye msiyemjua ninyi.

Yn 1:27 SUV

Ndiye yule ajaye nyuma yangu, ambaye mimi sistahili kuilegeza gidamu ya kiatu chake.

Yn 1:28 SUV

Hayo yalifanyika huko Bethania ng’ambo ya Yordani, alikokuwako Yohana akibatiza.

Yn 1:34 SUV

Nami nimeona, tena nimeshuhudia ya kuwa huyu ni Mwana wa Mungu.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy