YouVersion Logo
Search Icon

Mdo 26:17-18

Mdo 26:17-18 SUV

nikikuokoa na watu wako, na watu wa Mataifa, ambao nakutuma kwao; uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuielekea nuru, waziache na nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi.

Free Reading Plans and Devotionals related to Mdo 26:17-18