YouVersion Logo
Search Icon

Zekaria 8:16-17

Zekaria 8:16-17 NEN

Haya ndio mtakayoyafanya: Semeni kweli kila mtu kwa mwenzake, na mtoe hukumu ya kweli na haki kwenye mahakama zenu, usipange mabaya dhidi ya jirani yako, wala msipende kuapa kwa uongo. Nayachukia haya yote,” asema BWANA.

Free Reading Plans and Devotionals related to Zekaria 8:16-17