YouVersion Logo
Search Icon

Zekaria 13:9

Zekaria 13:9 NEN

Hii theluthi moja nitaileta katika moto; nitawasafisha kama fedha isafishwavyo na kuwajaribu kama dhahabu. Wataliitia Jina langu nami nitawajibu; nitasema, ‘Hawa ni watu wangu,’ nao watasema, ‘BWANA ni Mungu wetu.’ ”

Free Reading Plans and Devotionals related to Zekaria 13:9