YouVersion Logo
Search Icon

Warumi 10:11-13

Warumi 10:11-13 NEN

Kama Maandiko yanavyosema, “Yeyote amwaminiye hataaibika kamwe.” Kwa maana hakuna tofauti kati ya Myahudi na mtu wa Mataifa, yeye ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao. Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la Bwana, ataokolewa.”

Free Reading Plans and Devotionals related to Warumi 10:11-13