YouVersion Logo
Search Icon

Ufunuo 19:2

Ufunuo 19:2 NENO

kwa maana hukumu zake ni za kweli na za haki. Amemhukumu yule kahaba mkuu aliyeuharibu ulimwengu kwa uzinzi wake. Mungu amemlipiza kisasi kwa ajili ya damu ya watumishi wake.”