YouVersion Logo
Search Icon

Mithali 3:11-12

Mithali 3:11-12 NEN

Mwanangu, usidharau adhabu ya BWANA na usichukie maonyo yake, kwa sababu BWANA huwaadibisha wale anaowapenda, kama vile baba afanyavyo kwa mwana apendezwaye naye.

Free Reading Plans and Devotionals related to Mithali 3:11-12