YouVersion Logo
Search Icon

Mithali 2:21-22

Mithali 2:21-22 NEN

Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi, nao wasio na lawama watabakia ndani yake. Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi, nao wasio waaminifu watangʼolewa kutoka humo.