YouVersion Logo
Search Icon

Mithali 1:32-33

Mithali 1:32-33 NEN

Kwa kuwa ukaidi wa wajinga utawaua, na kuridhika kwa wajinga kutawaangamiza. Lakini yeyote anisikilizaye ataishi kwa usalama, atatulia, bila kuwa na hofu ya madhara.”