YouVersion Logo
Search Icon

Mathayo 7:15-16

Mathayo 7:15-16 NEN

“Jihadharini na manabii wa uongo, wanaowajia wakiwa wamevaa mavazi ya kondoo, lakini ndani ni mbwa-mwitu wakali. Mtawatambua kwa matunda yao. Je, watu huchuma zabibu kwenye miiba, au tini kwenye michongoma?

Free Reading Plans and Devotionals related to Mathayo 7:15-16