YouVersion Logo
Search Icon

Mathayo 14:18-19

Mathayo 14:18-19 NEN

Akawaambia, “Nileteeni hivyo vitu hapa.” Yesu akaagiza umati wa watu wakae chini kwenye nyasi. Akaichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akainua macho yake akatazama mbinguni, akavibariki na kuimega ile mikate. Kisha akawapa wanafunzi, nao wanafunzi wakawagawia ule umati.

Free Reading Plans and Devotionals related to Mathayo 14:18-19