YouVersion Logo
Search Icon

Waebrania 11:8-9

Waebrania 11:8-9 NEN

Kwa imani Abrahamu, alipoitwa aende mahali Mungu angempa baadaye kuwa urithi, alitii na akaenda, ingawa hakujua anakoenda. Kwa imani alifanya maskani yake katika nchi ya ahadi kama mgeni katika nchi ya kigeni; aliishi katika mahema, kama Isaka na Yakobo walivyofanya, waliokuwa pia warithi pamoja naye wa ahadi ile ile.

Free Reading Plans and Devotionals related to Waebrania 11:8-9