YouVersion Logo
Search Icon

Waebrania 11:24-27

Waebrania 11:24-27 NEN

Kwa imani, Musa alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao. Akachagua kupata mateso pamoja na watu wa Mungu, kuliko kujifurahisha kwa anasa za dhambi kwa muda mfupi. Aliona kushutumiwa kwa ajili ya Kristo ni utajiri mkubwa kuliko hazina za Misri, maana alikuwa anatazamia kupata thawabu baadaye. Kwa imani Musa aliondoka Misri bila kuogopa ghadhabu ya mfalme. Alivumilia kwa sababu alimwona yeye asiyeonekana kwa macho.

Free Reading Plans and Devotionals related to Waebrania 11:24-27