YouVersion Logo
Search Icon

Hagai 1:5-6

Hagai 1:5-6 NENO

Sasa hili ndilo asemalo BWANA wa majeshi: “Zitafakarini vyema njia zenu. Mmepanda vingi, lakini mmevuna haba. Mnakula lakini hamshibi, mnakunywa, lakini hamtosheki. Mnavaa nguo, lakini hamsikii joto. Mnapata mishahara, lakini inatoweka kama imewekwa kwenye mfuko uliotobokatoboka.”

Related Videos

Free Reading Plans and Devotionals related to Hagai 1:5-6