YouVersion Logo
Search Icon

Matendo 13:2-3

Matendo 13:2-3 NEN

Walipokuwa wakimwabudu Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu akasema, “Nitengeeni Sauli na Barnaba kwa kazi niliyowaitia.” Ndipo baada ya kufunga na kuomba, wakawawekea mikono yao na wakawatuma waende zao.

Free Reading Plans and Devotionals related to Matendo 13:2-3