1
1 Wakorintho 10:13
Biblia Habari Njema
Majaribu mliyokwisha pata ni ya kawaida kwa binadamu. Mungu ni mwaminifu, naye hataruhusu mjaribiwe kupita nguvu zenu, ila pamoja na majaribu, yeye atawapeni pia nguvu ya kustahimili na njia ya kutoka humo salama.
Compare
Explore 1 Wakorintho 10:13
2
1 Wakorintho 10:31
Basi, chochote mfanyacho iwe ni kula au kunywa, fanyeni yote kwa ajili ya utukufu wa Mungu.
Explore 1 Wakorintho 10:31
3
1 Wakorintho 10:12
Anayedhani amesimama imara ajihadhari asianguke.
Explore 1 Wakorintho 10:12
4
1 Wakorintho 10:23
Vitu vyote ni halali, lakini si vyote vinafaa. Vitu vyote ni halali lakini si vyote vinajenga.
Explore 1 Wakorintho 10:23
5
1 Wakorintho 10:24
Mtu asitafute faida yake mwenyewe, ila faida ya mwenzake.
Explore 1 Wakorintho 10:24
YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy
Home
Bible
Plans
Videos