1
Mateo 7:7
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Ombeni! ndipo, mtakapopewa. Tafuteni! ndipo, mtakapoona. Pigeni hodi! ndipo, mtakapofunguliwa mlango.
Compare
Explore Mateo 7:7
2
Mateo 7:8
Kwani kila anayeomba hupewa, naye anayetafuta huona, naye anayepiga hodi hufunguliwa mlango.
Explore Mateo 7:8
3
Mateo 7:24
*Basi, kila mtu anayeyasikia haya maneno yangu na kuyafanyiza atafanana na mtu mwenye akili aliyeijenga nyumba yake mwambani.
Explore Mateo 7:24
4
Mateo 7:12
Yo yote, mnayotaka, watu wawafanyie ninyi, nanyi mwafanyie yaleyale! Kwani hayo ndiyo Maonyo na Wafumbuaji.
Explore Mateo 7:12
5
Mateo 7:14
Tena uko mlango ulio mfinyu, nayo njia yake inasonga; ndiyo inayokwenda penye uzima, lakini wanaoiona ni wachache.
Explore Mateo 7:14
6
Mateo 7:13
*Uingieni mlango ulio mfinyu! Kwani liko lango lililo pana, nayo njia yake ni kubwa; ndiyo inayokwenda penye kuangamizwa, nao wanaoingia mle ni wengi.
Explore Mateo 7:13
7
Mateo 7:11
Basi, ninyi mlio wabaya mkijua kuwapa watoto wenu vipaji vyema, Baba yenu alioko mbinguni asizidi kuwapa mema wanaomwomba?
Explore Mateo 7:11
8
Mateo 7:1-2
Msiumbue mtu, msije mkaumbuliwa! Kwani kama mnavyowaumbua wengine, ndivyo, mtakavyoumbuliwa wenyewe. Kipimo, mnachopimia wengine, ndicho, mtakachopimiwa nanyi.
Explore Mateo 7:1-2
9
Mateo 7:26
Lakini kila mtu anayeyasikia haya maneno yangu asipoyafanyiza atafanana na mtu mpumbavu aliyeijenga nyumba yake mchangani.
Explore Mateo 7:26
10
Mateo 7:3-4
Nawe unakitazamiani kibanzi kilichomo jichoni mwa ndugu yako, lakini gogo lililomo jichoni mwako wewe hulioni? Au utamwambiaje ndugu yako: Ngoja, nikitoe kibanzi katika jicho lako, wewe mwenyewe ukiwa unalo gogo zima jichoni mwako?
Explore Mateo 7:3-4
11
Mateo 7:15-16
Jilindeni kwa ajili ya wafumbuaji wa uwongo! Wanawajia wamevaa kama kondoo, lakini mioyoni ni mbwa wa mwitu wenye ukali. Kwa matunda yao mtawatambua. Je? Huchuma zabibu miibani? Au huchuma kuyu mikongeni?
Explore Mateo 7:15-16
12
Mateo 7:17
Hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; lakini mti mwovu huzaa matunda mabaya.
Explore Mateo 7:17
13
Mateo 7:18
Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu hauwezi kuzaa matunda mazuri
Explore Mateo 7:18
14
Mateo 7:19
Kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa, utupwe motoni.
Explore Mateo 7:19
Home
Bible
Plans
Videos