1
Warumi 9:16
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Bassi, kama ni hivyo, si katika uwezo wa yule atakae, wala wa yule apigae mbio, bali wa yule arehemuye, yaani Mungu.
Compare
Explore Warumi 9:16
2
Warumi 9:15
Maana alimwambia Musa, Nitamrehemu yeye nimrehemuye, nitamhurumia yeye nimhurumiae.
Explore Warumi 9:15
3
Warumi 9:20
La! si hivyo, ee bin-Adamu; wewe u nani umjibuye Mungu? Je! kitu kilichoumbwa kimwambie yeye aliyekiumba, Ya nini nkanifanza hivi?
Explore Warumi 9:20
4
Warumi 9:18
Bassi, kama ni hivyo, atakae (kumrehemu) humrehemu, na atakae kumfanya mgumu humfanya mgumu.
Explore Warumi 9:18
5
Warumi 9:21
An mfinyangi je! bana nguvu juu ya udongo, kwa fungu moja la udongo kufanya chombo kimoja, kiwe cha heshima, na kimoja kiwe hakina heshima?
Explore Warumi 9:21
Home
Bible
Plans
Videos