1
Marko MT. 15:34
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Na saa tissa Yesu akapiga kelele kwa sauti kuu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? tafsiri yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
Compare
Explore Marko MT. 15:34
2
Marko MT. 15:39
Bassi yule akida, aliyesimama akimwelekea, alipoona ya kuwa alikata roho jinsi hii, akasema, Hakika mtu huyu alikuwa, Mwana wa Mungu.
Explore Marko MT. 15:39
3
Marko MT. 15:38
Pazia la patakatifu likapasuka vipande viwili toka juu hatta chini.
Explore Marko MT. 15:38
4
Marko MT. 15:37
Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.
Explore Marko MT. 15:37
5
Marko MT. 15:33
Ilipokuwa saa sita, pakawa na giza juu ya inchi yote, hatta saa tissa.
Explore Marko MT. 15:33
6
Marko MT. 15:15
Pilato akapenda kuwafanyia radhi makutano, akawafungulia Barabba: akamtoa Yesu, baada ya kumpiga mijeledi, asulibiwe.
Explore Marko MT. 15:15
Home
Bible
Plans
Videos