1
Mithali 1:7-8
BIBLIA KISWAHILI
RSUVDC
Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu. Mwanangu, yasikilize mafundisho ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako
Compare
Explore Mithali 1:7-8
2
Mithali 1:32-33
Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua, Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza. Bali kila anisikilizaye atakaa salama, Naye atatulia bila kuogopa mabaya.
Explore Mithali 1:32-33
3
Mithali 1:5
mwenye hekima asikie na kuongezewa elimu, na mwenye ufahamu ayafikie mashauri yenye njia.
Explore Mithali 1:5
4
Mithali 1:10
Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi, Wewe usikubali.
Explore Mithali 1:10
5
Mithali 1:1-4
Mithali za Sulemani, mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli. Kujua hekima na adabu; kutambua maneno ya ufahamu; kufundishwa matendo ya busara, katika haki na hukumu na adili. Kuwapa wajinga werevu, na kijana maarifa na tahadhari
Explore Mithali 1:1-4
6
Mithali 1:28-29
Ndipo watakaponiita, lakini sitaitika; Watanitafuta kwa bidii, wasinione. Kwa kuwa walichukia maarifa, Wala hawakuchagua kumcha BWANA.
Explore Mithali 1:28-29