1
Zekaria 3:4
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Malaika akawaambia watumishi wake, “Mvueni kuhani mkuu Yoshua mavazi yake machafu.” Kisha akamwambia kuhani mkuu Yoshua, “Tazama, nimeiondoa dhambi yako, nami nitakupa mavazi ya thamani.”
Compare
Explore Zekaria 3:4
2
Zekaria 3:7
“Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi: ‘Ukifuata mwongozo wangu na kuyazingatia maagizo niliyokupa, basi, utaisimamia nyumba yangu na nyua zake. Nami nitakuwezesha kuingia katika utumishi wangu kama hawa wanaosimama mbele yangu.
Explore Zekaria 3:7
Home
Bible
Plans
Videos