1
1 Fal 11:4
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Maana, alipokuwa mzee, wake zake walimpotosha hata akaitumikia miungu mingine, wala hakuwa mwaminifu kabisa kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wake, kama baba yake Daudi alivyokuwa mwaminifu.
Compare
Explore 1 Fal 11:4
2
1 Fal 11:9
Basi, Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, alimkasirikia Solomoni, kwa sababu alikuwa amemwacha Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, ingawa yeye alikuwa amemtokea mara mbili
Explore 1 Fal 11:9
Home
Bible
Plans
Videos