1
ZAKARIA 8:13
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Enyi watu wa Yuda na watu wa Israeli! Wakati uliopita ninyi mulionekana kuwa watu waliolaaniwa kati ya watu wa mataifa. Lakini sasa mimi nitawaokoa, nanyi mutakuwa watu waliobarikiwa. Basi, musiogope tena, lakini mujipe moyo!
Compare
Explore ZAKARIA 8:13
2
ZAKARIA 8:16-17
Hivi ndivyo munavyopaswa kufanya: Kila mumoja wenu amwambie mwenzake ukweli. Tribinali zenu zitoe siku zote hukumu za haki zinazoleta amani. Mutu yeyote asikusudie kumutendea mwenzake ubaya wala musiape uongo, maana ninayachukia sana matendo hayo. Ni mimi Yawe ninayesema hivyo.
Explore ZAKARIA 8:16-17
Home
Bible
Plans
Videos