1
ZAKARIA 6:12
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
na kumwambia kwamba Yawe wa majeshi anasema hivi: Hapa kuna mutu anayeitwa Tawi. Yeye atastawi pale anapokuwa na kulijenga hekalu la Yawe.
Compare
Explore ZAKARIA 6:12
2
ZAKARIA 6:13
Yeye ndiye atakayelijenga hekalu la Yawe. Atapewa heshima ya kifalme na kuikaa kwenye kiti chake cha kifalme kuwatawala watu wake. Kuhani Mukubwa ataikaa karibu na kiti cha kifalme cha mutawala yule, nao wawili watafanya kazi pamoja kwa amani.
Explore ZAKARIA 6:13
Home
Bible
Plans
Videos