1
Waroma 15:13
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Basi, Mungu anayekuwa musingi wa matumaini, awajaze furaha kamili na amani kutokana na imani yenu; hata tumaini lenu lipate kuongezeka kwa nguvu ya Roho Mutakatifu.
Compare
Explore Waroma 15:13
2
Waroma 15:4
Na yote yaliyoandikwa zamani katika Maandiko Matakatifu yameandikwa kwa ajili ya kutufundisha sisi, kusudi tuendelee kuchunga tumaini kwa njia ya kuvumilia na kufarijiwa sawa tunavyofundishwa katika Maandiko Matakatifu.
Explore Waroma 15:4
3
Waroma 15:5-6
Basi, Mungu anayewapa watu nguvu ya kuvumilia na kufarijika awape kuwa na nia moja mukifuata mufano wa Kristo Yesu. Hivi kusudi mutaweza kwa nia moja na kwa sauti moja kumutukuza Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.
Explore Waroma 15:5-6
4
Waroma 15:7
Basi mupokeane kwa upendo sawa vile Kristo alivyotupokea kusudi Mungu apate kutukuzwa.
Explore Waroma 15:7
5
Waroma 15:2
Lakini kila mumoja wetu anapaswa kumupendeza mwingine kwa kumutendea mema na kuweza hivi kumujenga katika imani.
Explore Waroma 15:2
Home
Bible
Plans
Videos