1
Waroma 13:14
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini Bwana Yesu akuwe kama vile silaha munayobeba, musijiachilie kuvutwa na hali yenu ya kimwili hata mutimize tamaa zake.
Compare
Explore Waroma 13:14
2
Waroma 13:8
Musikuwe na deni la mutu yeyote. Deni moja munalopaswa kuwa nalo ni kupendana. Kwa maana yule anayemupenda mwenzake ametimiza Sheria kabisa.
Explore Waroma 13:8
3
Waroma 13:1
Kila mutu anapaswa kutii wakubwa wenye mamlaka. Maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; nao wakubwa wanaotawala wamesimikwa na Mungu.
Explore Waroma 13:1
4
Waroma 13:12
Usiku umepita, na muchana unakaribia. Basi tutupilie mbali matendo ya giza na kuvaa silaha za kupigana nazo wakati wa mwangaza.
Explore Waroma 13:12
5
Waroma 13:10
Anayemupenda mwenzake hawezi kumutendea vibaya. Basi Sheria inatimizwa kwa njia ya upendo.
Explore Waroma 13:10
6
Waroma 13:7
Mumupe kila mutu haki yake: mulipishaji wa kodi, mumulipe kodi; mulipishaji wa ushuru, mumulipe ushuru. Mumuheshimu anayestahili kuheshimiwa na mumutukuze anayestahili kutukuzwa.
Explore Waroma 13:7
Home
Bible
Plans
Videos