1
Ufunuo 1:8
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Bwana Mungu Mwenye Uwezo anasema: “Mimi ni Alfa na Omega.” Ni yeye anayekuwa, aliyekuwa na anayekuja.
Compare
Explore Ufunuo 1:8
2
Ufunuo 1:18
Mimi ni mwenye uzima. Nilikuwa nimekufa, lakini sasa mimi niko muzima kwa milele na milele. Niko na mamlaka juu ya lufu na kuzimu.
Explore Ufunuo 1:18
3
Ufunuo 1:3
Heri yule anayesoma na wale wanaosikia maneno hayo ya unabii na kushika yale yaliyoandikwa ndani ya kitabu hiki, kwa maana wakati wa kutimia kwa mambo haya unakaribia.
Explore Ufunuo 1:3
4
Ufunuo 1:17
Wakati nilipomwona, nikaanguka chini kwa rafla mbele yake kama vile mufu. Lakini akaweka mukono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope! Mimi ni wa kwanza na wa mwisho.
Explore Ufunuo 1:17
5
Ufunuo 1:7
Angalia, yeye anakuja katikati ya mawingu! Kila mutu atamwona, hata wale waliomutoboa kwa mukuki. Na kwa sababu yake mataifa yote ya dunia yatalalamika kwa huzuni. Hakika ni vile! Amina.
Explore Ufunuo 1:7
Home
Bible
Plans
Videos