1
Zaburi 7:17
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Uharibifu wake utamurudilia yeye mwenyewe; ukali wake utamwangukia yeye mwenyewe.
Compare
Explore Zaburi 7:17
2
Zaburi 7:10
Ukomeshe uovu wa watu wabaya, uwaimarishe watu wa haki, ee Mungu unayetenda haki, unayejua siri za mioyo na mafikiri ya watu.
Explore Zaburi 7:10
3
Zaburi 7:11
Mungu ndiye ngao yangu; yeye anawaokoa watu wenye moyo wa usawa.
Explore Zaburi 7:11
4
Zaburi 7:9
Wewe, ee Yawe, unayehukumu mataifa, unihukumu kadiri ya haki yangu, kulingana na ukamilifu wangu.
Explore Zaburi 7:9
5
Zaburi 7:1
Kwa mukubwa wa waimbaji. Wimbo wa malalamiko ya Daudi, aliomwimbia Yawe kwa ajili ya Kushi wa kabila la Benjamina.
Explore Zaburi 7:1