1
Zaburi 5:12
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini wanaokimbilia kwako wafurahi wote, waimbe kwa shangwe siku zote. Uwalinde wanaolipenda jina lako, kusudi wapate kushangilia kwa sababu yako.
Compare
Explore Zaburi 5:12
2
Zaburi 5:3
Usikilize kilio changu, Mufalme wangu na Mungu wangu, maana wewe ndiwe ninayekuomba.
Explore Zaburi 5:3
3
Zaburi 5:11
Ee Mungu, uwaazibu kwa makosa yao, waanguke katika mipango yao wenyewe; uwafukuze inje kwa sababu ya zambi zao nyingi, kwa sababu wamekuasi wewe.
Explore Zaburi 5:11
4
Zaburi 5:8
Lakini, kwa wingi wa wema wako, mimi nitaingia ndani ya nyumba yako; nitainama kwa heshima kuelekea hekalu lako takatifu.
Explore Zaburi 5:8
5
Zaburi 5:2
Ee Yawe, usikilize maneno yangu, usikie malalamiko yangu.
Explore Zaburi 5:2