1
Zaburi 40:1-2
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi. Nilimungojea Yawe kwa uvumilivu, akanielekea na kusikia kilio changu.
Compare
Explore Zaburi 40:1-2
2
Zaburi 40:3
Aliniondoa katika shimo la hatari, alinitoa katika matope mengi, akanisimamisha salama juu ya mulima, na kuziimarisha hatua zangu.
Explore Zaburi 40:3
3
Zaburi 40:4
Alinifundisha wimbo mupya, wimbo wa sifa kwa Mungu wetu. Wengi wataona, wataogopa, na kisha watamutumainia Yawe.
Explore Zaburi 40:4
4
Zaburi 40:8
Halafu nikasema: “Ninakuja. Katika kitabu imeandikwa juu yangu.
Explore Zaburi 40:8
5
Zaburi 40:11
Sikuficha katika moyo wangu ukombozi ulionijalia. Nimetangaza siku zote kwamba wewe ni mwokozi mwaminifu. Sikuficha kusanyiko kubwa la watu wema wako na uaminifu wako.
Explore Zaburi 40:11