1
Zaburi 34:18
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Watu wa haki wakimulilia Yawe, yeye anawasikia, na kuwaokoa katika taabu zao zote.
Compare
Explore Zaburi 34:18
2
Zaburi 34:4
Mumutukuze Yawe pamoja nami, wote pamoja tulisifu jina lake.
Explore Zaburi 34:4
3
Zaburi 34:19
Yawe ni karibu na wenye kuvunjika moyo; anawaokoa wote waliokata tamaa kabisa.
Explore Zaburi 34:19
4
Zaburi 34:8
Malaika wa Yawe anawalinda wote wanaomwabudu, na kuwaokoa kutoka katika hatari.
Explore Zaburi 34:8
5
Zaburi 34:5
Nilimwomba Yawe, naye akanijibu, na kuniondoa katika hofu zangu zote.
Explore Zaburi 34:5
6
Zaburi 34:17
lakini anawapinga watu wanaotenda maovu, kusudi afute majina yao kutoka katika dunia.
Explore Zaburi 34:17
7
Zaburi 34:7
Masikini alimulilia Yawe, naye akamusikia, na kumwokoa katika taabu zake zote.
Explore Zaburi 34:7
8
Zaburi 34:14
Basi, uache kusema mabaya, na kuepuka kusema uongo.
Explore Zaburi 34:14
9
Zaburi 34:13
Unatamani kufurahia maisha, kuishi maisha marefu na kufurahia mazuri?
Explore Zaburi 34:13
10
Zaburi 34:15
Ujiepushe na uovu, utende mazuri; utafute amani na kuifuatilia.
Explore Zaburi 34:15
11
Zaburi 34:3
Mimi nitajisifu kwa ajili ya Yawe; wanyenyekevu wasikie na kufurahi.
Explore Zaburi 34:3