1
Zaburi 24:1
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Zaburi ya Daudi. Dunia na vyote vinavyokuwa ndani yake ni vya Yawe; ulimwengu na wote wanaoishi ndani yake ni mali yake.
Compare
Explore Zaburi 24:1
2
Zaburi 24:10
Ni nani huyo Mufalme mwenye utukufu? Ni Yawe, wa majeshi, yeye ndiye Mufalme mwenye utukufu.
Explore Zaburi 24:10
3
Zaburi 24:3-4
Nani atakayepanda kwa mulima wa Yawe? Nani atakayekaa katika hekalu lake takatifu? Ni mutu wa matendo mema na moyo safi, asiyefuata mambo ya ovyo, wala kuapa kwa uongo.
Explore Zaburi 24:3-4
4
Zaburi 24:8
Ni nani huyo Mufalme mwenye utukufu? Ni Yawe, mwenye nguvu na uwezo; Yawe, mwenye uwezo katika vita.
Explore Zaburi 24:8