1
Mezali 31:30
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mapendezi ni udanganyifu na uzuri wa uso haukawii, lakini mwanamuke anayemwogopa Yawe atasifiwa.
Compare
Explore Mezali 31:30
2
Mezali 31:25-26
Nguvu na heshima ndizo sifa zake. Anacheka anapofikiri juu ya wakati unaokuja. Anafungua kinywa kwa kusema kwa hekima; anawashauri wengine kwa wema.
Explore Mezali 31:25-26
3
Mezali 31:20
Anafungua mukono wake kwa kuwapa wamasikini, ananyoosha mukono kwa kusaidia wakosefu.
Explore Mezali 31:20
4
Mezali 31:10
Muke mwema atapatikana wapi? Bei yake ni kali kuliko ushanga!
Explore Mezali 31:10
5
Mezali 31:31
Jasho lake linastahili kulipwa. Shuguli zake zinapaswa kuheshimiwa popote.
Explore Mezali 31:31
6
Mezali 31:28
Watoto wake wanaamuka na kumushukuru, mume wake anaimba sifa zake.
Explore Mezali 31:28