1
Hesabu 21:8
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Halafu Yawe akamwambia Musa: Tengeneza nyoka wa shaba, umutundike juu ya muti. Mutu yeyote atakayeumwa na nyoka, akiangalia kwenye nyoka huyo wa shaba, atapona.
Compare
Explore Hesabu 21:8
2
Hesabu 21:9
Basi, Musa akatengeneza nyoka wa shaba, akamutundika juu ya muti. Kila mutu aliyeumwa na nyoka alipomuangalia nyoka huyo wa shaba, alipona.
Explore Hesabu 21:9
3
Hesabu 21:5
Basi, wakaanza kumunungunikia Mungu na Musa, wakisema: Kwa nini mumetutoa Misri tukuje tukufie humu katika jangwa? Humu hamuna chakula wala maji; nasi tumechokeshwa na chakula hiki cha bure.
Explore Hesabu 21:5
4
Hesabu 21:6
Hapo Yawe akatuma nyoka wenye sumu kati ya watu, wakawauma hata Waisraeli wengi wakakufa.
Explore Hesabu 21:6
5
Hesabu 21:7
Basi, watu wakamwendea Musa, wakamwambia: Tumetenda zambi kwa kumunungunikia Yawe na wewe vilevile. Umwombe Yawe atuondolee nyoka hawa. Kwa hiyo, Musa akawaombea watu.
Explore Hesabu 21:7
Home
Bible
Plans
Videos