1
Marko 4:39-40
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Yesu akaamuka, akakaripia ile zoruba na kuiambia ziwa: “Kimya! Tulizana!” Basi zoruba ikakoma na kukakuwa kimya kabisa. Kisha Yesu akawaambia wanafunzi: “Sababu gani munaogopa? Mpaka sasa hamujakuwa na imani?”
Compare
Explore Marko 4:39-40
2
Marko 4:41
Halafu wakaogopa sana, nao wakaanza kuulizana: “Huyu ni mutu gani, hata zoruba na ziwa vinamutii?”
Explore Marko 4:41
3
Marko 4:38
Yesu alikuwa upande wa nyuma wa chombo, akilala usingizi akilalisha kichwa juu ya mufuko wa kuegemea. Wanafunzi wake wakamwamusha na kumwambia: “Mwalimu, haikuhangaishi kuona sisi tunakufa?”
Explore Marko 4:38
4
Marko 4:24
Yesu akawaambia tena: “Muangalie vizuri maneno munayosikia! Mungu atawapimia na kipimo kile munachowapimia wengine, na kuwaongezea hata zaidi.
Explore Marko 4:24
5
Marko 4:26-27
Yesu akaendelea kusema: “Ufalme wa Mungu unafanana na mutu mumoja aliyepanda mbegu katika shamba lake. Kila siku alilala na kuamuka na mbegu ziliota na kukomaa. Lakini hakujua namna gani mbegu zilivyoota.
Explore Marko 4:26-27
6
Marko 4:23
Mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie!”
Explore Marko 4:23
Home
Bible
Plans
Videos