1
Marko 14:36
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Akasema: “Ee baba! Yote yanawezekana kwako; ninakuomba uniondolee mbali hiki kikombe cha mateso. Lakini isikuwe kama vile mimi ninavyotaka, lakini kama vile wewe unavyotaka.”
Compare
Explore Marko 14:36
2
Marko 14:38
Mukeshe na kuomba, kusudi musianguke katika majaribu; kwa maana roho ni hodari, lakini mwili ni zaifu.”
Explore Marko 14:38
3
Marko 14:9
Kweli ninawaambia: kwa ajili ya kukumbuka mwanamuke huyu, tendo lile alilofanya litaelezwa popote Habari Njema itakapohubiriwa katika dunia nzima.”
Explore Marko 14:9
4
Marko 14:34
Akawaambia: “Ninahuzunika sana, karibu kufa! Mubakie hapa na mukeshe.”
Explore Marko 14:34
5
Marko 14:22
Walipokuwa wakikula, akatwaa mukate, akaubariki, kisha akaumega na kuwapa wanafunzi wake, akisema: “Mutwae, huu ni mwili wangu.”
Explore Marko 14:22
6
Marko 14:23-24
Kisha akatwaa kikombe, akakibariki na kuwapa, nao wote wakakikunywa. Na Yesu akawaambia: “Hii ni damu yangu; damu inayomwangika kwa ajili ya watu wengi kwa kuhakikisha agano la Mungu.
Explore Marko 14:23-24
7
Marko 14:27
Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Ninyi wote mutaanguka, kwa maana imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Nitamwua muchungaji, na kondoo watasambazwa.’
Explore Marko 14:27
8
Marko 14:42
Musimame, tuende! Yule anayenitoa, amefika karibu!”
Explore Marko 14:42
9
Marko 14:30
Yesu akamujibu: “Kweli ninakuambia kwamba usiku huu, mbele jogoo hajawika mara mbili, utakuwa umenikana mara tatu.”
Explore Marko 14:30
Home
Bible
Plans
Videos