1
Marko 1:35
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kesho yake asubui kulipokuwa kungali giza, Yesu akaamuka, akatoka katika muji na kwenda pahali penye ukiwa, kule akaanza kuomba.
Compare
Explore Marko 1:35
2
Marko 1:15
Alisema: “Wakati umetimia, na Ufalme wa Mungu ni karibu! Mugeuke toka zambi zenu na kukubali Habari Njema!”
Explore Marko 1:15
3
Marko 1:10-11
Mara moja wakati Yesu alipotoka ndani ya maji, akaona mbingu zinafunguka na Roho Mutakatifu akishuka juu yake kwa mufano wa njiwa. Na sauti ikasikilika toka mbinguni, ikisema: “Wewe ndiwe Mwana wangu mupendwa; ninapendezwa nawe sana.”
Explore Marko 1:10-11
4
Marko 1:8
Mimi nimewabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mutakatifu.”
Explore Marko 1:8
5
Marko 1:17-18
Yesu akawaambia: “Munifuate, nami nitawaweka kwa kazi ya kuopoa watu.” Mara moja wakaacha nyavu zao na kumufuata.
Explore Marko 1:17-18
6
Marko 1:22
Watu waliomusikia walishangaa sana kuona namna alivyofundisha, kwa maana hakuwafundisha sawa na walimu wao wa Sheria, lakini kama mutu mwenye mamlaka.
Explore Marko 1:22
Home
Bible
Plans
Videos