1
Maombolezo 1:1
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Namna gani muji uliokuwa umejaa watu, sasa unakaa peke yake! Ulikuwa na utukufu kati ya mataifa, sasa umekuwa kama mama mujane. Ulikuwa kama binti wa mufalme kati ya miji, sasa umekuwa mutumwa.
Compare
Explore Maombolezo 1:1
2
Maombolezo 1:2
Unalia usiku kucha; machozi yanatiririka juu ya mashavu yake. Hakuna hata mumoja kati ya wapenzi wake kwa kuufariji. Rafiki zake wote wameudanganya; wamekuwa waadui zake.
Explore Maombolezo 1:2
3
Maombolezo 1:20
Ona, ee Yawe, ninavyokuwa tabani. Roho yangu imechafuka, moyo wangu unaugua maana nimekuasi vibaya. Kule inje kumejaa mauaji, ndani nako ni kama kifo tu.
Explore Maombolezo 1:20