1
Yeremia 42:6
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ikuwe ni jambo la kupendeza au hapana, sisi tutaitii sauti ya Yawe, Mungu wetu, ambaye tunakutuma kwake kusudi mambo yatuendekee vizuri tutakapomutii Yawe, Mungu wetu.
Compare
Explore Yeremia 42:6
2
Yeremia 42:11-12
Musimwogope mufalme wa Babeli munayemwogopa; musimwogope hata kidogo. Mimi niko pamoja nanyi kwa kuwaokoa na kuwaponyesha kutoka katika mikono yake. Nitawahurumia na kumufanya mufalme awahurumie na kuwaacha katika inchi yenu. –Ni ujumbe wa Yawe.
Explore Yeremia 42:11-12
3
Yeremia 42:3
Yawe, Mungu wako, atuonyeshe njia anayotaka tuifuate, na kile anachotaka tufanye.
Explore Yeremia 42:3