Unazani umekuwa mufalme
kwa kujenga na mierezi?
Baba yako alikula na kunywa,
alifuata sheria yangu na kutenda mambo ya haki,
na mambo yake yaliendeka vizuri.
Aliwapatia haki wamasikini na wakosefu,
na mambo yake yaliendeka vizuri.
Si hivi ndivyo kunijua mimi?
–Ni ujumbe wa Yawe.