1
Waamuzi 4:4
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Wakati ule, kulikuwa nabii mumoja mwanamuke aliyeitwa Debora, muke wa Lapidoti, aliyekuwa mwamuzi wa Waisraeli wakati ule.
Compare
Explore Waamuzi 4:4
2
Waamuzi 4:9
Debora akamujibu: “Sawa. Nitakwenda pamoja nawe; lakini hautapata heshima yoyote ya ushindi, maana Yawe, atamutia Sisera katika mikono ya mwanamuke.” Basi, Debora akafuatana na Baraka kwenda Kedesi.
Explore Waamuzi 4:9
Home
Bible
Plans
Videos