1
Waamuzi 16:20
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Delila akamwambia Samusoni: “Samusoni! Wafilistini wanakuja kukushambulia!” Samusoni akaamuka toka katika usingizi naye akifikiri kwamba atatoka na kujiokoa kama vile mbele. Kumbe hakujua kwamba Yawe alikuwa amemwacha.
Compare
Explore Waamuzi 16:20
2
Waamuzi 16:28
Hapo Samusoni akamwomba Yawe: “Bwana wangu Yawe, ninakuomba unikumbuke. Unitie nguvu, mara hii moja tu, ee Mungu, kusudi niwalipize kisasi mara moja hii tu Wafilistini ambao waliyaongoa macho yangu mawili.”
Explore Waamuzi 16:28
3
Waamuzi 16:17
hakuweza kuvumilia, akamufunulia siri yake, akisema: “Nywele zangu hazijapata kunyolewa hata kidogo. Mimi nimewekwa Munaziri wa Mungu tangu katika tumbo la mama yangu. Kama nikinyolewa nguvu zangu zitanitoka, nami nitakuwa zaifu kama mutu yeyote.”
Explore Waamuzi 16:17
4
Waamuzi 16:16
Delila alipoendelea kumusumbua sana Samusoni kwa maneno, siku kwa siku na kumwuzi hata akachoka ndani ya roho karibu kufa
Explore Waamuzi 16:16
5
Waamuzi 16:30
Kisha akasema: “Na nikufe pamoja na Wafilistini.” Akasukuma kwa nguvu zake zote. Nyumba ikawaangukia wakubwa hao wote wa Wafilistini waliokuwa mule ndani. Wale waliouawa wakati wa kifo chake walikuwa wengi kuliko wale aliowaua wakati alipokuwa muzima.
Explore Waamuzi 16:30