1
Waamuzi 14:6
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Basi, roho wa Yawe akamushika Samusoni kwa nguvu, akamurarua simba huyo kama mutu anavyorarua mwana-mbuzi. Naye Samusoni hakuwaambia wazazi wake jambo lile.
Compare
Explore Waamuzi 14:6